📢 TANGAZO LA KUJIUNGA NA MASOMO YA PRE–FORM ONE 2025

🎓 Mafunzo haya yanajumuisha:
✅ Masomo ya msingi ya kidato cha kwanza:
- Kiswahili
- Kiingereza
- Hisabati
- Sayansi
- Historia
- Jiografia n.k.
✅ Masomo ya Ufundi kwa mtaala mpya wa AMALI (Competency-Based Education and Training):
- TEHAMA (Kompyuta)
- Ushonaji na Ususi
- Ufundi Umeme
- Ufundi ujenzi
- Uchomeleaji n.k
📆 Muda wa Mafunzo:
Kuanzia 15.09.2025 hadi 19.12.2025
🕒 Ratiba: Jumatatu hadi Ijumaa, Saa 1:30 asubuhi hadi 8:00 mchana
📌 Ada ya Mafunzo: 30,000 kwa mwezi kutwa na 120,000 kwa Bweni
📍 Mahali: Shule ya Sekondari [Jina na eneo la shule]
📞 Kwa maelezo zaidi:
Simu: 0769434039/0764732622
Email: samaritantech411@gmail.com
Au fika moja kwa moja ofisini kwa usajili
✨ Tayari kwa Sekondari – Tayari kwa Maisha ya Ufanisi!
🎯 Nafasi ni chache – Jisajili mapema!
“ELIMU KWA WOTE – NA WOTE KWA MUNGU”
